Ukishasema mtoto wa jack chan hana haja ya kuachiwa mali jina tu linambeba ni kama kina watoto wa platnumz tiffa dangote jina tu ni urithi tosha wanaweza anzisha chochote kikafanikiwa usifananishe na watoto wa makapuku
Anha, kwenye utangulizi na hitimisho niliweka maneno yanayoitaka Tanzania kuchukua hatua kuwapatia wananchi wake huduma ya maji safi na salama, nikikusudia Serikali ya Tanzania-Wizara ya maji na umwagiliaji, ambayo husimamia sera, kanuni, na maendeleo ya miundombinu inayohusiana na usambazaji wa...
Utangulizi
Tuzo ni alama ya heshima na kutambua mchango mkubwa na mafanikio katika sekta mbalimbali za maisha. Katika muktadha wa bunge, tuzo za ubunge huchukua jukumu muhimu katika kuenzi uongozi bora, utumishi wa umma wa heshima, na mchango wa wabunge katika maendeleo ya taifa lao.
Chanzo...
Naam mkuu upande wa gharama nimekuacha wazi nikitaraji kama nchi tukidhamiria vijana wetu wabunifu watatengeneza mifumo hii kitachofanyika ni kuimport vifaa, pia kwakua mashine ni mobile tunaweza kuanza na chache maeneo yaliyo jirani yakishare kupunguza gharama.
Chanzo: wordvision.org/blog
Utangulizi
Tanzania ni nchi iliyojaaliwa rasilimali maji za kutosha kama mito, maziwa na vyanzo vya maji chini ya ardhi. Licha ya ukwasi wa rasilimali hizi takwimu zinaonesha kuwa ni asilimia 55 ya wananchi waishio vijijini na asilimia 86 ya wananchi waishio mijini...
Chanzo: Latest news and case studies
Utangulizi
Tanzania ni nchi iliyojengwa kwa taswira ya amani na usalama kwa raia. Hii imepelekea nchi yetu kutambulika kama kisiwa cha amani. Licha ya sifa hizi nzuri, tafiti za hivi karibuni zinaonyesha kwamba ukuaji wa kasi wa miji na majiji yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.