Recent content by goldencrayon

  1. G

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Je, kitendo cha chuo cha KCMC kuzuia wanafunzi wa Md4 ambao bado wako semester 1 wasifanye mtihani wa UE kisa hawajalipa ada ya semester 2 ni halali?

    Katika sintofahamu wanafunzi wa mwaka wa nne wa udaktari KCMC ambao bado wako semester 1 mpaka tarehe 12/06/2026 Kwa mujibu wa ratiba ya chuo,wametakiwa kulipia ada yote ya semester 2 ndipo uruhusiwe kufanya mitihani huo wa end of semester 1(UE) unaotarajiwa kuanza tar 8/06/2026. Wanafunzi...
  2. G

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha KCMC kinataka kuzuia wanafunzi wa mwaka wa nne kufanya mtihani wa semester 1 kama hawajalipa Ada ya semester 2

    Mfanyakazi akiomba kulipwa mshahara wa mwezi agosti na bado Yuko Juni ni sahihi?
  3. G

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha KCMC kinataka kuzuia wanafunzi wa mwaka wa nne kufanya mtihani wa semester 1 kama hawajalipa Ada ya semester 2

    Pesa inayolipwa na heslb wataisubiri ila ya mwanafunzi ya semester 2 anatakiwa alipe ndipo afanye mtihani
  4. G

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha KCMC kinataka kuzuia wanafunzi wa mwaka wa nne kufanya mtihani wa semester 1 kama hawajalipa Ada ya semester 2

    Hapana... Ni mara ya kwanza na hawataki kutoa maelezo Wala kuelezea ni kwanini wnaaitaka
  5. G

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Chuo cha KCMC kinataka kuzuia wanafunzi wa mwaka wa nne kufanya mtihani wa semester 1 kama hawajalipa Ada ya semester 2

    Chuo Cha KCMC kimetangaza rasmi kupitia CR wa wanafunzi udaktari (MD) mwaka wa nne kikiwataka kulipa ada ya semester ya pili ilihali bado wako semester ya kwanza na kinatishia kuwa hakitawaruhusu kufanya mitihani wa kumaliza semester ya kwanza (end of semester exam) hata kama ada yao ya mwaka wa...
Back
Top Bottom