Recent content by goldberg

  1. goldberg

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Ndio mumkumbuke Profesa Mark James Mwandosya alipoandika facebook mwaka juzi na watu wakamponda. Alipoteuliwa huyu jamaa mwenye kigoda, aliandika "MTU AMBAYE HAJAWAHI KUSHIKA WADHIFA WOWOTE NDANI YA CHAMA (HATA UBALOZI WA NYUMBA KUMI) NDIO ANAKUWA MWENYEKITI MPYA WA CCM" Nadhani sasa ndio...
  2. goldberg

    Nape: Sina kinyongo na uamuzi wa Rais Magufuli; Akasirishwa na aliyemtishia Bastola

    Anakumbushia ziara waliyoifanya na Kinana kwa miaka almost miwili, kuhuisha chama. Umesahau mara hii?
  3. goldberg

    Umeme 'waweza kuzimwa pamoja' na Muungano

    Atakua alikua anaandaa minutes za mkutano wa Dodoma
  4. goldberg

    Ukweli Mchungu kuhusu anayejiita Mdogo wa Gwajima

    :D:D:D:D. Unahisi wanakaa watu gani bro?
  5. goldberg

    Mkakati wa Zambi na Mulugo kupinga mabadiliko ya Katiba ya CCM (mtu mmoja, cheo kimoja) wafichuka

    Mh! Kirahisi namna hiyo? Ina maana JPM akiboana na mwenyekiti wake ama viongozi wake chamani anaweza kupokonywa kadi ya uanachama na kupoteza uraisi wake? Nieleweshe tafadhali!
  6. goldberg

    Ukweli mchungu, Lema mwisho wake 2020

    Kiki mnampa wenyewe na mnalalamika wenyewe. Hata 2015 mlisema hapiti. Muache kulia lia na kumkamata kamata, kisa mnawaridhisha wakubwa wenu! Mkitaka asikuze jina lake mwacheni hivyo hivyo!
  7. goldberg

    Jesca Jonathan Unatafuta nini kwa kupinga mabadiliko ya Katiba ya CCM?

    Ipo, ila lazima uhoji masuala yanayoendana na ukawa. Ukihoji ya ndani wanakushikisha adabu!
  8. goldberg

    Mbunge wa Mtera: Wasiporidhika na vyeti wakasema sijatahiriwa nitatoa nini?

    Siwezi kushangaa. Na bado anachaguliwa, ndio uone kwamba kuna udumavu wa akili kwa wapiga kura wake!
  9. goldberg

    Mbunge wa Mtera: Wasiporidhika na vyeti wakasema sijatahiriwa nitatoa nini?

    Yaani huyu jamaa akili zake zinamtosha mwenyewe tu. Naona kaacha miupasho kaamua kuanza drama za utupu
Back
Top Bottom