katika kenge wewe ni kenge namba moja,hivi kwa hali aliyokuwa nayo Tundu lissu ulitaka afuate utaratibu gani?yeye alikuwa anapelekwa kama mtu aliyekufa hafahamu chochote,kwa nini usiwalaumu waliompeleka bila kufuata utaratibu?alafu hiyo serikali imechukua hatua gani baada ya Lissu kupigwa...
hivi maraisi wastaafu wakisikia haya maneno wanajiona vipi?na wanaona hii nchi inaongozwa na watu wa aina gani?mbona wako kimya tu,na viongozi wa dini haya hawayasikii?kwa hali hii misikiti na makanisa watakuwa wanakwenda kusali wanafiki tu,
viongozi wa ccm hawataki kuambiwa ukweli,hilo ndilo tatizo ukweli kwao ni mmatusi wanachotaka wao ni kusifiwa tu,sasa watu wamechoka hacha watu waseme ukweli kama wewe ni ccm utaumia tu,lakini sisi wasema ukweli hatutoacha kusema ukweli,ukweli sio matusi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.