Recent content by Gogo Kavu

  1. Gogo Kavu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    ongera sana asee ,ukawe mtumishi mwema
  2. Gogo Kavu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana kaka ,nimefurahi kwa ajili yako Asee
  3. Gogo Kavu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana kiongozi ,ukawe mtumishi mwema
  4. Gogo Kavu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Natamani kuandika kitu juu ya #Mfwende_sawadogo lakini nakosa. Mengi yamezungumzwa juu yake ya pongezi ,namm naungana na nyie wana Jf humu ,kutoa neno la pongezi kwake ....Hongera sana kaka .Mwenyez Mungu akutangulie huko kazini Na sisi tuliobakia Mungu atusaidie one day wote tupate ...
  5. Gogo Kavu

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    itakua flash yenye pdf imepotea ..
  6. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Wameripoti tar 3 mwezi huu apo kiwira
  7. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Hao MT wanachkua watu kulingana na mahitaji yao ..mwaka 2021/2022 walichkua shahada kwa idadi inayo ridhisha karibu kila idara waligusa ..lakini kwa tangazo hili la sasa inaonekana kabisa hao watu wa shashada Watachkuliwa wachache kulingana na mahitaji ya tangazo lao ...so hapo ni kusubiri...
  8. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Pamoja na wasaidiz wa ofice ...(secretaries) inaonekana ofisi nying hazina watu hao
  9. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kwa fikra zangu nadhani mchakato wa usaili utakua wa muda mfupi sana. Ili kuwai vijana waliotangulia Kiwira
  10. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kila sehemu saiv watu wa shahada ni kizungumkuti sana kupata nafasi ,sijui tatizo ni nini
  11. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Apo ni PDF maana fani ni nyingi sana
  12. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Kama wapo seriaz MT ndani ya wiki hii watafanya jambo
  13. Gogo Kavu

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Baba iyo imeisha iyo .ni sukunyo sio ndoige tena
Back
Top Bottom