Kuita kundi la wapigania haki na maendeleo na wapinga Ukoloni wa kijani na Njano MISUKULE ni kitu kibaya sana. Ok trella ya movie ni Jumapili then kwenye uchaguz wa serikal za mitaa ni warning an 2015 tunafanya conclusion
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Acha kupotosha watu bana wasanii walioonyesha interest zao za kisiasa na mirengo yao ni hao vilaza wa leo,pamoja na Prof Jay na Mgosi Mkoloni.Kuhusu Diamond alienda kupiga show kigoma kwenye sherehe ya icho cama mwaka jana. Nadhan mngekuwa na uchungu na nia mngemsaidia Ngwear aliyeplay big role...
Umasikini na njaa ni vitu vibaya sana,na ni bora mtu ukombolewe kifikra na kiakili kuliko kuwa mtumwa wa tumbo. Am sorry kaka zangu JB na Richie niliwaamin sana ila kwa hili mmeniangusha. Kaka yangu Chikoka wew ni bongo movie maskin kuliko wote leo uko huku tena. Ok sawa ila mmejichimbia kaburi...
Nashangaa huvioni vyama vingine kama CUF(Doto) wa CCM, NCCR, UDP, na TLP vyenye wabunge bungen unapambana na CDM
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mh yupo sawa kabisa na kama CCM mnabisha wekeni tume huru ya Uchaguzi na muache ujanja ujanja tuone kama mtashinda. Kwenye uchaguzi uliopita majimbo ambayo CCM alishinda kihalali ni machache, kwani kuna majimbo ubabe ulitumika pamoja na nguvu ya dola kushinda. Kama kweli mnakubalika...
Kila kiongozi kashfa zake zikianikwa hali itakuwa siyo shwari ndugu zangu,nadhan mheshimiwa Mbowe asiingiliwe kwenye personal issue zake
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
vikao vya usuluhishi vimekaa mara nyingi san kwani kikao cha kwanza kilifanyika kwenye hoteli ya aliyekuwa mbunge wa Kiteto (RIVERINE LODGE) kati ya viongozi wa jamii izo 2,Lakini kwenye kikao cha tar 31 Dec kilishindikana muafaka na hata cha tar 3 Jan pia ivyo ivyo in short jambo liko kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.