Recent content by godwin nnko

  1. G

    Je tra walijipanga kuanzisha mfumo wa efd kupata kodi?

    nashindwa kuelewa kwa sababu mashine za efd ni ni kwa ajili ya tra kukusanya kodi cha ajabu zinauzwa laki sita kama sio unyonyaji ni nini? serikali ikitaka ela macho yake ni kwa mwananchi wa kawaida tu hadi wamchomoe senti ya mwisho
  2. G

    Rais Kikwete adanganywa tena

    nafikiri jk hana haja ya kuwa makini,anachosubiri ni kumaliza miaka yake minne aondoke.kufanya vizuri au kutofanya vizuri haimjalishi maana hana haja tena ya kura zenu. cha muhimu watazania tuwe makini na nchi yetu.tufanye kazi kwa bidii na kuiombea nchi yetu.
Back
Top Bottom