Ni nani atakayetuondolea lile jiwe? Hili ndilo swali gumu zaidi walilojiuliza akina Mariam Magdalena, mama yake Yesu, na wale wanawake wengine ile siku ya kwanza ya juma. Nia yao ilikuwa kwenda kaburini, kumpaka mafuta Yesu (aliyeuawa na kuzikwa) ili kukamilisha taratibu za maziko ya kiyahudi...
Watu wengi wanajiuliza kwa nini Idara ya Usalama wa Taifa TISS haitangazi kazi hadharani kama idara za nje?? Tatizo ni kitu gani?
Ukweli ni kuwa muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi...
Muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa...
Muundo na utendaji kazi wa idara za usalama wa Taifa duniani unachanganya sana (uko very complex), na haufanani kama A na A, au 1 na 1 kama watu wengi wanavyodhania. Utofauti huo unatokana na mambo mengi yanayozifinyanga idara hizo ikiwa pamoja na (but not limited to) muundo na asili ya Taifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.