Ingia YouTube msikilize aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na aliyewahi kuwa Mbunge wa Misungwi Mh Charles Kitwangwa akiongelea hii kitu tozo, ameongea mambo ya msingi sana na kuitaka mamlaka husika ikachukue ushauri toka kwake kuhusiana na hii issue ya TOZO.
Mwaka 2012 nilibahatika kutembelea Murambi Genocide Memorial Site, hakika usipokuwa mgumu unaweza kububujikwa na machozi, yako mahanga marefu idadi manane humo ndani kuna vichanja ambavyo juu yake yamepangwa mabaki ya miili ya watu waliiouawa kile kipindi cha mauaji ya kimbari maelfu kwa...
Nimesikia kwamba utaratibu wa kutumia tiketi za kielektroniki umeanza rasmi tarehe ya leo. Tunaambiwa tukate tiketi ya Bus husika online, tunatambua sio Kampuni zote za Mabasi zina website sasa sijui itakuwaje. Mwenye uelewa kuhusu utaratibu huu naomba anieleweshe zaidi.
Yeah! ni kweli miaka ya nyuma aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam alikuwa anaitwa Ramadhani Nyamka, nadhani huyu CGP mpya atakuwa ni kijana wa Mzee huyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.