NIMEKUBALI
Yanitesa abadani,
Niliyo nayo moyoni,
Naungulia kwa ndani,
Rohoni nina huzuni,
Faraja yangu siioni,
Kufikia huku sikuwahi kudhani,
Wanitesa kwa nini?
Vanessa umebadilika sana,
Wewe wa leo sio yule wa jana,
Ni kweli siku haziwezi kufanana,
Daima hutofautiana,
Sitaki kuibeba hii...