Recent content by Godlove Kabati

  1. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Shukrani sana ndugu yangu...
  2. Godlove Kabati

    Freddy Ginwala, Movie ya kusisimua na mateso matamu

    Shukrani sana kiongozi... Kalitazame hili tambara
  3. Godlove Kabati

    Freddy Ginwala, Movie ya kusisimua na mateso matamu

    PAZIA LA FILAMU 📽🎬 FREDDY (2022) Mungu alimbariki sana Freddy Ginwala, Akamuumbia moyo wa dhahabu, moyo wenye utajiri wa adili na ibada. Akamjaalia tabia njema zilizoambatana na adabu iliyotukuka. Mungu akamuongezea na mali za kumtosha alizoridhika nazo hakika. Unadhani Mungu wetu ana kikomo...
  4. Godlove Kabati

    Pazia la filamu 📽🎬: The Da vinci code

    UCHAMBUZI WA FILAMU 📽🎬 THE DA VINCI CODE (2006) -----‐----------------------------- Kwa desturi tunapotazama filamu yoyote ile, tunalenga kuziburudisha nafsi zetu. Sio kazi rahisi mtu akae chini kwa saa moja mpaka mawili amekodolea skrini yake kutazama filamu. Kila mtu ana machaguo yake...
  5. Godlove Kabati

    Shairi; nimekubali

    NIMEKUBALI Yanitesa abadani, Niliyo nayo moyoni, Naungulia kwa ndani, Rohoni nina huzuni, Faraja yangu siioni, Kufikia huku sikuwahi kudhani, Wanitesa kwa nini? Vanessa umebadilika sana, Wewe wa leo sio yule wa jana, Ni kweli siku haziwezi kufanana, Daima hutofautiana, Sitaki kuibeba hii...
  6. Godlove Kabati

    Kama pazia la filamu 📽🎬: the last voyage of the demeter

    THE LAST VOYAGE OF THE DEMETER(2023) Chimbuko la hadithi: Ashukuriwe Mungu kwa kutupatia zawadi ya sanaa hapa duniani. Sanaa ni burudani ya muhimu mno katika maisha yetu ya kila siku. Hebu fikiria dunia ingekuwaje bila wasanii wa muziki, wachoraji, wafumaji, wafinyanzi, waandishi wa fasihi na...
  7. Godlove Kabati

    Pazia la filamu : The house of gucci

    HOUSE OF GUCCI Ni mwaka 1978 katika jiji la Milan nchini Italia, nchi ya fasheni na mitindo mbalimbali ya mavazi. Palikuwepo familia kubwa, Familia ya Gucci. Ilikuwa familia tajiri,yenye nguvu na mamlaka kibiashara .Kila kiumbe hai kilichobahatika kuzaliwa kwenye familia hii, kiliishi kwenye...
  8. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Oh! Asante sana ndugu yangu. Nafanyia kazi mapungufu, wakati ujao nirejee nikiwa bora! Shukrani sana.
  9. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Tukutane wakati ujao kwenye riwaya hii hapahapa JF... Mshitue mwenzako, amshtue mwenzake! 😃
  10. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Niwashukuruni sana wasomaji wote tuliokuwa pamoja tangu mwanzo mpaka mwisho wa riwaya hii ya SHAMBA LA HELA. Maoni na mitazamo yenu, nimevipokea kwa mikono miwili, tegemeeni mabadiliko hasa katika riwaya na simulizi mbali mbali zitakazokuja hapo baadae. Ni jukumu langu kuujali sana muda wenu...
  11. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Ooh ooh... Karibu sana!
  12. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Shukrani sana mkuu, 🙏
  13. Godlove Kabati

    Riwaya: Shamba la hela

    Shukrani sana ndugu yangu.
Back
Top Bottom