Ndugu wana JF karibu kuchangia hoja, zaidi ya yote usisahau kunipigia kura hapo mwishoni kabisa ya makala hii palipo na kialama ''^'' kwani kura yako ni muhimu sana kwangu. Mungu akubariki!
Ajira! Ajira! Ajira! Nimekuita mara tatu kwa maana umekuwa hafifu katika mboni za macho ya vijana wengi. Nikikumbuka wosia tofauti za babu na wazazi wangu, kichwa kinazidi kuchanganya zaidi huku nikitafakari maana yao ilikuwa ipi. Namkumbuka pia mwalimu wangu wa Kemia na Baiolojia yule wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.