Uko sahihi ase lakini kumbuka kila kitu ni taratibu tu na pili arsenal walikuwa nyumbani na uwanja ulijaa mimi niliwaelewa vyema Liverpool wamejitahidi sana mana mwanzoni walikuwa na uoga achana na zile fujo za kelele mzee unaweza kushindwa kukipiga kwa kutetemeka kingine jamaa unayemkosoa...
Habari zenu wadau wa biashara, uchumi na ujasiliamalia?
Ebana ningependa kufahamu juu ya upatikanaji wa vifuko vya ujazo tofauti kwa ajili ya kuhifadhia bidhaa ila ningependa kufahamu haswa ile ambayo iko customised kwa logo na business info nyingine na siyo ambayo iko plain. Mfano mzuri ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.