Recent content by godfrey sitta

  1. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Ni sheeda!maandiko yanadai hakuna mtakatifu duniani wote ni wadhambi tu,na kama wapo mungu mwenyewe anawajua na syo sie hapa chini ya jua!umeelewa ww kipofu!? Eti mtakatifu hebu niambie ni wapi pameandikwa papa anaweza kusamehe dhambi au kuw mtakatifu?? Endelea kuabudu mama wa yesu ambae ni...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Ni nchi ndogo kuliko zote duniani lakini ni nchi inayoongoza kwa matumizi ya mvinyo(pombe Kali) Utasema hapo kuna mungu? Mungu hataki kuwe na baba au mtakatifu yoyote huku duniani kwakua mwenye sifa hizo ni yy pekee utaona hata yesu alikataa kuitwa mwema je!?ninyi wakatolic ni nani aliewapa...
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Ukitaka kupotea unapotea na usipotaka basi huwezi kupotea kwakua uwezo wa kuitambua njia unao,, Ingia ktk mtandao wa www.vaticancrimes.com utakuja na majibu tosha kuwa Hyo vatican ni nchi ndogo kuliko zote yenye wakazi chini ya laki 8 wengi wakiwa ni jamii ya Jesuits na hawa ndo vinara wa...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Maandiko yanasema kama ni kusali na shetani anasali pia,kama ni kuamini shetani haishii kuamini tu Bali yy anaamini na kutetemeka pia,kama nisadaka na shetani anatoa,,na ikiwa ni kufunga hata ibirisi wala hali lakini kumbuka haya yote ni maigizo tu ili aweze kupoteza roho za watu wengi ukiweza...
  5. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Kwa taarifa yako huna unachokijua hata kimoja kuwa utaratibu mpya w dunia ya sasa iliyo mikononi mwa wenye dhambi,na ktk hilo kinara wa siri wa mambo yote hayo ni kiongozi wa kanisa katoriki na usipoamini syo lazima Baki hvohvo na upofu wako
  6. G

    JamiiForums Tanzania Kanisa Katoliki limekuwa tumaini kuu kwa masikini, yatima na wenye njaa. Ingawa kuna wanaolibeza

    Kazi za ibirisi huwa zinakua na mvuto sana kuliko kawaida ili kuwavuta wengi na hatimae kuwapoteza,,,kwani nani kakwambia shetani hatoi msaada??
  7. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: RFID vs 666 ?

    Mungu ni mwema sana By sittaplus@gmail.com.com
  8. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: RFID vs 666 ?

    sittaplus@gmail.com.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: RFID vs 666 ?

    Kwa wale wabishi na wanaotaka kuelewa zaidi wasome ufunuo 13:1-18 kisha tukutane #sittaplusgmail.com Hii ni kwa mwenye Nia tu ya kutaka kujua utimilifu Wa unabii kuhusu Siku za mwisho pia nakaribisha maswali yote kuhusu unabii Wa Siku za mwisho na pia kuhusu mtandao unaotawala sayari hii kwa...
  10. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: RFID vs 666 ?

    Vitu vyote vinavotumia mawimbi ya umeme vinapitia Kwene super computer iliyoko merryland huko USA iliokua na code#ya 666 na hivo vifaa vyote mfano atm card na radio nk vyote lazima viwe na chip ambayo serial #yake iwe tiar instored na ili iweze kusomwa na hii supercomputer lazima tu iwe na 666...
  11. G

    JamiiForums Tanzania Tetesi: RFID vs 666 ?

    RFID=radio frequency id Na 666 ni alama na nembo ya mpinga kristo wengne wanamwita masihi dajjal huyu anatarajiwa kufika mda wowote ktk vizazi hivi vinavoandaliwa kumpokea na ili afike lazima kila aina ya ubaya uhalalishwe mfano ndoa za jinsia moja,mauaji,nk
Back
Top Bottom