Kama mna watoto jaribu kuwa karibu na Mungu kwa kwenda kanisani na wote msali vilevile shirikisha watu wa imani kwenye ndoa yako, ila kama huna watoto nae ni bora kuachana nae na uoe mwingine na wala si kuwa na wake2 watakuchanganya kichwa.
Pole sana!
Mi mwenyewe napenda za mapingano kama amerika vs vetman wapi na wapi bongo movies
Siwezi nunua za mapenzi na umbeya mtupu nitaenda mtandaoni kupakua ninazotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.