Hamna chamaana ulichozungimzia wameshalalamika wengi xana hata km ni taasisi binafsi mmeujumu wengi ila jaydee hamtomuweza kwa sasa yuko mbali xana kimaisha hata hizo tunzo sidhani km zitamsaidia anasupport kubwa kutoka kwa wananchi
Lazima ili swala tuliangalie kwa makini na sikutuma post pasipo kufikiria hili swala la jaydee alijaanzia kwake kulalamika wamepita wasanii wengi wamelalamika bila kusahau ant-virus project iliyoanzishwa na Sugu kwamba ilikuwa nalengo gani haya makundi mangapi yamekufa na wasanii wangapi...
Kweli ilo nitatizo kubwa xana nilazima tujipe Muda kwa wasichana na wavulana kabda yakuchukua hatua ya kuoa au kuolewa kwamba ni muda sawia usiingie kwenye ndoa km sifa au kutimiza wajibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.