Kujilipua Kwa kuandika namba, nitalitafakari Kama italazimu! Ila Kama yupo atakayewiwa Kwa namna nilivyokuelewa ulichomaanisha anaweza kuja pm nitampa namba!
Kama itabidi nitafanya hiyo mkuu!!
Kikawaida ni 150k, ila Kwa kuwa ni sehemu nimeishi muda mrefu mwenye nyumba alinipa unafuu baada ya kuongea nae Kwa kina akashusha Hadi 120 [emoji17][emoji17]
Kweli mkuu, japo nashukuru Kwa wengi walivyoandika maneno ya kuleta tumainina kutia moyo ila ulichoandika ndio uhalisia!
Yaani hapa mwenye nyumba ananivzia kila Kona, maduka yanayonizunguka nimekopa yote!
Hapa Leo mtoto anahitaji hata pumpers, Sina wife ananinunia tu!
J3 Kuna ninayetakiwa...
Daah nimeandika nikafuta, nikaandika nimefuata., Tokea Wiki nilitaka kuandika hili, nikawa najaribu kusubiri huenda ningepata majibu ila kwa sasa nimeiona niyatoe ya moyoni!
Kwanza nikiri nimekuwa mtumiaji wa hili jukwaa Kwa muda mrefu, zaidi ya miaka 15!
Nimekuwa nikiona nyuzi tofauti za watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.