Tatizo Kwa Sasa si kutawaliwa ni umimi kwenye madaraka yaani utawala wa nchi. Nchi nyingi hazina Dira sahihi. Nchi nyingi zinategemea akili ya kiongozi aliye madarakani badala ya kiongozi kufuata Dira ya watalaamu, anafuata Dira ya yeye kuweko kwenye awamu ya madaraka. Hali hii inafanya nchi...
Inategemea akili Gani unayozungumuzia! Kwenye uvumbuzi waafrika walikuwa mstari wa mbele kuvumbua vitu kuliko wazungu. Kwa Elimu ya kawaida waafrika pia wamejitokeza. Kwenye utawala waafrika tumekutwa na utawala wetu wenyewe wa watemi, machifu nk. Kilichotokea na kuharibu ni kutawaliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.