Lakini mbona hatujaona Chadema ikufungua milango kwa wanachama wengine wachukue fomu? Wamemuandaa EL pekee ... hiyo ndiyo demokrasia kweli? Mnasema CCM haina demokrasia mbona hata Chadema siioni? maamuzi yote yalifanywa na wachache juu. Mimi siyo mwanachama wa chama chochote ila naangalia mambo...
Wana JF tutazungumza mengi lakini mwisho wa siku kila mtu anakura ya kupiga moja. Huwezi sema fulani atashinda wakiti wewe kura yako moja ... hujui wengine watampigia nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.