Tusaidiane jamani, mmenifungua mno macho ya biashara, nina mtaji lakini nilikuwa na maswali kichwani bila majibu, asante nimeyapata majibu hapa,Mungu akijalia wiki ijayo niende UG, lakini nilitaka kujua kwenye swala la kubadili pesa yaani tsh to UG sh, au usd to ugsh kipi ni bora na wapi pazuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.