Natumai Ni wazima nyote humu jamvini.
Mwanzo gari yangu ilikuwa in heat sana na ikawa inavuja maji,fundi akabadilisha gasget na cylinder head.kuwasha gari ikawa inakataa,yani inakaribia kuwaka lakini inaishia kuunguruma tu.
Fundi akcheki pump ya mafuta na akasema inashida,akaweka ingine na...
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
Mwaka 2010 nikiwa chuo Kuna mwanafunz wa primary alinipita njian alikuwa amechafuka saana,nikamuuliza shida n nn akasema Hana sabun.nikampa elfu 2 na ndo nilikua nayo nikamkumbatia nikamuaga,kesho yake nikapata muamala wa elfu 40000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.