Ndio maana nipo hapa ili mniambie ni kitu gani anachokifanya huyu bwana Jela kikawa na maana kwa Taifa hili zaidi ya kutumika kama kibaraka na wazungu tena wale wanaotaka kuiba mali zetu kutumia njia ya machafuko ya kisiasa tena kwa kumtumia huyo bwana Jela?
Katika siasa, kuna nafasi ya mjadala. Kuna nafasi ya upinzani wa hoja. Na kuna nafasi pia ya kuchochea taharuki isiyo na majibu jambo ambalo linaweza kugharimu maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
Miezi kadhaa iliyopita, Tundu Antipas Lissu mmoja wa viongozi wakuu wa upinzani kupitia chama cha...
Ni jambo la kusikitisha kuona taasisi ya umma ikichafuliwa kwa maneno ya kubuni bila ushahidi wowote. Tunapinga vikali aina hii ya uandishi usiozingatia ukweli wala maadili. Maendeleo ya jamii yanahitaji taarifa za kweli, si propaganda zinazolenga kuchafua sura ya taasisi zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.