Mimi naona kuna umuhimu wa Rais Kikwete kupata mpinzani kutoka ndani ya chama ili kumpa changamoto na kuimarisha demokrasia. Upinzani pia utamwongezea yeye ari ya kufanya kazi na ili kuwaonyesha Watanzania kama anaweza kupewa dhamana ya kuwaongoza tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.