Recent content by gilbert35

  1. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Riwaya: Maiti 15 tu Nitafurahi Tena Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi WhatsApp: +255765824715 Hii ni Sehemu ya 05 "Hata maji mpendwa?" Mama Atu akageuka na kuuliza. Lakini jicho alilotazamwa na Inspekta Jasmine likamfanya arejee na kukaa. Amani iliyokuwa imemtawala ikapungua kiasi, woga...
  2. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Riwaya: Maiti 15 tu Nitafurahi Tena Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi WhatsApp: +255765824715 Hii ni Sehemu ya 04 "Kwani ilikuwaje Gilbert?" Bwana Elius Benjamin aliuliza. Ndipo Gilbert Mwaitika akamwelezea kuanzia walipotoka kanisani hadi kufikia Kicheko Restaurant. Wote walishangaa...
  3. gilbert35

    Visa na Mikasa: NIRUDISHIENI MWILI WANGU by Gilbert Evarist Mushi

    Riwaya: NIRUDISHIENI MWILI WANGU Imeandikwa na GILBERT EVARIST MUSHI Phone: +255765824715 Tulipoishia... "Marahaba mwanangu, hujambo? Nilijua tu hii taarifa ni ya kipuuzi nimepewa. Wewe ni jembe langu huwezi kuniacha kirahisi hivi. Ishi sana mwanangu maisha marefu. Nimeambiwa umepata ajali ya...
  4. gilbert35

    Visa na Mikasa: NIRUDISHIENI MWILI WANGU by Gilbert Evarist Mushi

    [emoji2960]Nitakunyamazisha mdomo. Tuupe muda nafasi
  5. gilbert35

    Visa na Mikasa: NIRUDISHIENI MWILI WANGU by Gilbert Evarist Mushi

    Riwaya: NIRUDISHIENI MWILI WANGU Mwandishi: GILBERT EVARIST MUSHI Phone: +255765824715 UTANGULIZI Nilikuwa nikijitahidi kuchochea pedali katika baiskeli yangu ili baiskeli ikimbie zaidi ya ikimbiavyo, japokuwa ulikuwa ni mteremko mkali mbele yangu na baiskeli ilikuwa katika mwendo mkali lakini...
  6. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Riwaya: Maiti 15 tu Nitafurahi Tena Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi WhatsApp: +255765824715 Hii ni Sehemu ya 03 Wakati huohuo Inspekta Jasmine pamoja na Gilbert Mwaitika walikuwa wakisogea karibu na pale alipo Bi Sandra. "Inspekta Jasmine kile nini pale?" Gilbert aliuliza. "Kama mtu...
  7. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Riwaya: Maiti 15 tu Nitafurahi Tena Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi WhatsApp: +255765824715 Hii ni Sehemu ya 02 "Bado sijakupata vizuri. Kwahiyo muuaji ametumia njia hii kwa sababu anaonekana ni dhaifu? Sasa kwanini awe mwanamke wakati hata mwanaume ambaye ni kilema anaweza kuwa dhaifu?"...
  8. gilbert35

    Simulizi ya mzigo wa bosi uliharibu maisha yangu

    [emoji119][emoji119][emoji119]
  9. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    MAITI 15 TU NITAFURAHI TENA Inspekta Jasmine anamsaka Muuaji anayezidi kuteketeza roho za wanakijiji wa Kishumundu. Cha kushangaza ni kwamba Bi Sandra kabla ya kupoteza maisha alidai kwamba Jasmine amerudi, na bila shaka ndiye anayewamaliza. Kama haitoshi mpelelezi Gilbert Mwaitika anajikuta...
  10. gilbert35

    RIWAYA: Anga ya Washenzi na Gilbert Evarist Mushi

    https://www.jamiiforums.com/threads/riwaya-ya-kipelelezi-maiti-15-tu-nitafurahi-tena.2147340/ Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena
  11. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Sawa mkuu. Leo naweka
  12. gilbert35

    Riwaya ya kipelelezi: Maiti 15 tu nitafurahi tena

    Riwaya: Maiti 15 tu Nitafurahi Tena Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi WhatsApp: +255765824715 Hii ni Sehemu ya 01 SURA YA KWANZA Zimepita takribani dakika 15 tangu awasili ndani ya ofisi yake. Ofisi ndogo tu iliyoweza kuendana na cheo chake cha uinspekta wa jeshi la polisi. Ameketi juu ya...
  13. gilbert35

    SIMULIZI: KWANINI MIMI 01

    ?
  14. gilbert35

    RIWAYA: Anga ya Washenzi na Gilbert Evarist Mushi

    https://www.facebook.com/SimuliziZaGilbert?mibextid=ZbWKwL Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom