Nathani sasa mheshimiwa kenyatta umeona ni namna gani kagame amekudharirisha kupitia jeshi lako kama amiri jeshi mkuu mstaafu uliekaa meza moja na Pk the man of full of trick kesha kuzunguka na kukufedhehesha yajayo yanafurahishwa
Wanachama pia wanawajua ukienda nao kwa kazi wanawaza dil tu anaweza kuuza hata wewe na uko kwa gari yako ni wakati sasa mr president ufanye judgement sahihi hapo huna jeshi maana wakiingia na silaha zao mpya zitachukuliwa zooote
Kweli kabisa niliwaeleza watu kua kagame atamzunguka kenyatta na kuna mambo mawili tu ya kenya kujirekebisha hapa 1. Kenya kutekeleza hitajio la congo kuwapiga waasi2. Kenya kisaliti congo na kuungana na kagame kuipiga danadana congo kama kinachoendelea sasa ambao ni ushindi kwa waasi na kero...
Hapana broo congo wanataka kuona hakuna kundi linalokua tishio kwa usalama wake kwa kuacha kujihusisha na vita vinavyoirudisha nyuma kimaendeleo huku upande mwingine waasi wakichafua hali ya hewa kwa vita ili wapore mali za congo kwa msaada wa rwanda na uganda zinanufaika sana na hivi vita congo...
Okay sahihisho hapo ni kenya ni $114 bn na tz $ 76.8 bn this is a big gap tujitahidi sana watz pia tumeisaha sana western reginon ambako kuna fulsa nyingi za kuinua uchumi na hasa usafirishaji
Wewe ndugu yangu nimekukubali watu wa nje ya tanzania wanaona fulsa za uchumi wetu kupaa like plane hivi ila walioko huku hawaoni najiuliza 5th prezident hivi vitu alitoawaga wapi;msemo wa one day tanzania could be a donner country like those which donates
Kenya nawakubali asee you tells facts kazi kwetu watanzania kurekebisha hizo mapungufu pia tunapeana tu kazi kwenye sehemu nyeti za kiuchumi bila kuangalia weledi wa mtu kuna watu positivity na negativity huwezi kumpatia mtu wizara ambaye mawazo yake ni kuifirisi badala ya kuiendeleza ukategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.