Kuna hatari kubwa ya maandamano ya vijana kwa sababu ajira ni chache na mikakati ya serikali kupambana na tatizo hili ni ndogo ukilinganisha na ukubwa wa tatizo.
Sioni mikakati madhubuti ya kusaidia vijana wanaomaliza kidato cha nne na kufeli.
Sioni mikakati ya kusaidia vijana waliomaliza vyuo...
Me nilikuwa na wazo kuhusu pass mark kwa vyuo vikuu Kwa mfano pass mark ya SUA ni 50+ambayo ni 40-49D
50-59 ni C
60-64 B
65-69B+
70-100A
Hii inawapa wakati mgumu vijana kwenye ajira Kwa mfano mtu mwenye G.P.A ya 3.5 SUA vyuo vingine anakuwa na G.P.A ya 4.3.
Kwahyo kwenye qualifications za...
Uvivu wako wa fikra na sijamaanisha hvo kujitolea ndo uvivu mwenyewe huo wa kutokuwa na upana wa kufanya Mambo yako na kutegemea huruma ya . Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza 🧠🧠🧠
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.