mtawafunga nusu ya watanzania magereza.
analilia katiba mpya yake tu aifwati
anaelilia uhuru wa maoni yeye akikosolewa anadai wamenunuliwa.
Tuna Gonjwa hatari sana kwenye Siasa
Ni maoni ndani ya Ccm.
Endelea mutoa maoni mkuu.
Sisi waafudhina tunataman sana chama chetu kibadili sana aina ya siasa zake.
Watu wanataka maendeleo , Matokeo, na Furaha .
Nalog-off
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.