Recent content by giftlivinus

  1. G

    UKAWA/CHADEMA mripoti hili NEC mara moja, la sivyo mtajuta muda si mrefu

    kweli kabisa ilo linaonekana wazi wazi kabisa wakifanya wao hawaongelewi lakini sisi chochote tu lazima waongee....watanyooka tyuuu #mabadiliko
  2. G

    Willibrod Slaa amkacha Tido Mhando

    alikua bado hajatumiwa maswali atakayouliza ili ajipange na kuedit mengine ambayo majib hana..
  3. G

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    hakuna namna maana lazima watakata umeme kwasababu wanajua malofa ambao ndio wengi hatuwezi kua na magenerator so hatutaona hasa kwa walio mkoani na jijin hapa ambao watashindwa kufika kwasababu ya majukumu ila tunajiandaa sisi wengne ..leo nimepunzika home kwasababu ya kesho mapemaaaaaa niko...
  4. G

    Edinson Cavani adhalilishwa

    unaeza ukaua mtu...af mwisho wa siku yeye ndio amepewa kadi
Back
Top Bottom