Unaongea hivyo kwasababu haujabanwa kaka hizi taasisi za kifedha zinawapa mikopo hata watumishi ambao ndio wanaanza kazi wakati ma bank ni mpaka umalize mwaka mmoja na nusu au miwili kazini na pia mishahara mpaka ipitie kwao mimi nashauri hata ukikopa kwenye taasisi yoyote ile jitahidi uchukue...
Siku zote ukichukua mkopo na ukautumia kwa matumizi ambayo haya ifanyi ile hela uliyo ikopa kujizalisha basi ni lazima utaishia kuzilalamikia taasisi zote za kifedha watumishi nasi tuamke tuache kukopa tukiwa na matatizo tu au kujenga nyumba badalayake .tukope kwa lengo la kuikuza ile hela...
Habari ya kazi wapambanaji wenzangu
Nawezaje kupata ujuzi wa kutafuta simu zilizopotea kwa anaefahamu Naomba msaada wa maelekezo maana nimeona ni fulsa nzuri ya kujitengenezea kipato katika mkoa niliopo kwani wengi hupotelewa na simu na kushindwa kuzipata hata wakienda polisi
Habari ya kazi wana Jamii Forum Ni jinsi gani naweza kui Reset password yangu ya kutolea salary slip kwenye mfumo wa hazina ikiwa nimeisahau Email yangu niliyo itumia kipindi najisajili? naomba msaada kwa anae elewa ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.