Recent content by gidsonbuju

  1. gidsonbuju

    Ajira za ualimu na Afya

    ishangae serikali tupo nao wengi na kila ajira zikitoka wanaomba , hapa nilipo wapo kama wanne hvi
  2. gidsonbuju

    Ukosefu wa ajira toka 2015 unavyowanyima vigezo wahitimu kuomba kazi zinazotoka sasa

    Tokea Marehemu Magufuli alivyosimamisha ajira kwa mkupuo kupisha zoez la uhakiki wa watumishi hewa zoez la ajira mpya serikalini lilisitishwa, katika utawala huu wa Mheshimiwa Samia , naona hasa katika ajira kama polisi, uhamiaji, magereza, zimamoto, takukuru na nyinginezo zinawatupa nje ya...
  3. gidsonbuju

    Nafasi 320 za kazi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU)

    mwaka jana nilijaribu huku ila kama huna wa kukushika mkono hapa pccb acha , maana kuna ambao hawakufanya written interview ila majina yao yakatokea kwenye oral interview , hii ishu aliwahi iongelea jamaa anaitwa Abdul Nondo kwenye mambo yote yaliyotokeaga hapa , ila kujaribu sio dhambi
  4. gidsonbuju

    Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

    Mungu atupambanie tutoboe na sisi , miaka mitano kitaa sio kitoto , hadi unajiuliza ulimkosea nini Mungu, na muda unaenda , nikikumbuka gharama nilizotumia kuomba pccb hadi kwenda interview Dodoma , mtaji wangu wote nilipita nao , kuanzia nauli na malazi huna ndugu na bado nikala ndoige mpaka...
  5. gidsonbuju

    Natafuta kazi yoyote

    Mwenyezi Mungu akusaidie upate kile unachostahiki........ Marufuku kukata tamaa
  6. gidsonbuju

    Mchumba anatafutwa

    Mimi ni kijana wa kiume, umri miaka 30 , elimu degree ya ualimu , kwa sasa ni mfanyabiashara mdogo , natafuta mke wa kuoa kwa aliye serious anichek Pm. awe hana mtoto umri miaka 27, kushuka, dini sibagui, kwa sasa napatikana Katoro Geita.
Back
Top Bottom