Jamani vigogo msituone wananchi tumekuwa vilaza kihivyo mnaongea maranda tu bila kuwaza. Acheni tusikie wabunge wetu wakivunja sheria ili tuwahukumu vema wakati wa uchaguzi. Kaka mkiona hatujawahukumu mjue hoja hiyo ilibidi mbunge avunje kanune ili kuondoa madhara ya uchache bungeni. Tendeni...
Sasa jamani wakuu mimi nachanganyikiwa yani trilioni 22 waziri anasema tunakopesheka na anakiri wanakopa benki za biashara yani kama wajasiriamali wadogo na rehani zinawekwa rasilimali zetu. Hii nyingine imenichekesha zaidi eti serikali ina pesa kama trillioni 4 wakati tunadaiwa 22 hii akili...
kuna waziri alisema akipewa dakika tano bungeni awaombe radhi waliotuhumiwa ataongea mengi kuthibitisha tuhuma. Solution imekuwa asipewe dakika tano. Nchi inasonga mbele na tugange yajayo. Nimempenda hakimu wa hiyo kesi ila sioni kama ana nfasi nyingi zilizobaki kufanya maamuzi kama hayo kabla...
Jamani jamani nani ainusuru tanzania au tumelogwa na nani mbona hata haonyeshi wasiwasi kuwa amekosea au hapo ndani yake kuna dalili ya voda fasta. Wadau saidia fafanua zaidi
I dont believe this as it seems there are strong holders in ccm and can make anything they want to stay in power. Lets see, time is the best medicine for this
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.