Kwa mtaji huo kwanza usi paniki,,kaa relax kidogo hata sku kazaa pita hapa na pale kusanya mawazo ya watu,,ingawaje wengi wata ona una hela ndefu so uta ingiza hela nyingi na kuwazibia rizki za wateja nk.
Lakini mwisho wa sku uta Pata Kipi Ni sahihi kwako kwani akili za kupewa Nawe ongeza na...
Kijana Mimi binafsi huko sipa faham vizur ila Ni mwenyeji wa k'njaro na Dar hata mikoa mingne pia tofaut na huko.
WAZO LANGU KWAKO
Mahali kama hapa Dar, una weza anzisha hata saluni mbili kwa hela yako Hiyo. Una Fanya hvi,, unafungua ofisi ya kawaida sana maana saiv vyuma vime kaza kwahyo...
Kijana binafsi Nime penda mawazo yako,, uko vizur na Nina amini Yupo mtu Alikua hajui kama hii pia Ni fursa ila tu wana ogopa Ku thubutu.
Kua chuo haimaanishi ufanye kazi ofisini, no hata kujiajiri kwa kuanzisha kitu kidogo ila uka kifanya kwa kujiamini na kwa nia moja una toka pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.