Kwani anakuwa amekunyima...au hana kwa wakati huo...?!!!
Kina wakati wanawake wanatupitisha katika njia ngumu sana, yaani hawatambui kupata na kukosa...!
Wala hakuna ubaya wowote, wewe mlee kadiri ilivyo sahihi, lengo ni kumsaidia huyo mkeo bila kujali chochote.
Msaidie mtoto aje kutengeneza maisha yake, kama huko kwa baba yake anateseka hakika wataharibu saikolojia yake.
Daah aisee hiyo sio ndoto ya kawaida, ni Mungu ameamua kukumbusha kwamba kuna pesa nyingi ambazo bila kutarjia lakini kumbe ni shetani huwa anajipenyeza katika shughuli zetu...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.