Wanasiasa ndio wapi hao? Huo ndo ujinga wenyewe wa kudhani kuna wanasiasa zaidi yako wewe. Wewe ndo mwanasiasa namba moja wa maisha yako, usipoyapigania kwa kuhofia kufa, utakuja kufa kwa kukosa maji mtaani kwako.
Hadi sasa quarter of life ya Mbowe kukiongoza chama kwa misingi yake kilivyokuwa is over.
Mpaka sasa jamii kubwa ya wana CHADEMA washasanuka kuwa FAM yupo hapo kwa manufaa yake wala si kwa wananchi.
Ikumbukwe hata maandamano aliyokua anaitisha lengo na madhumuni ilikua ni kujinadi yeye na...
Wenje kajikanyaga kanyaga ovyo ovyo tu hajaeleza kile kinachodaiwa
Mara Abdul alisema Lissu tayari kashalipwa mara wakaenda kwa Lissu wakachukua nyaraka
Hapo kuna kitu behind the scenes tumefichwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.