Recent content by Ghama

  1. G

    Ujinga ni biashara kubwa ambayo imetajirisha wengi

    Wanasiasa ndio wapi hao? Huo ndo ujinga wenyewe wa kudhani kuna wanasiasa zaidi yako wewe. Wewe ndo mwanasiasa namba moja wa maisha yako, usipoyapigania kwa kuhofia kufa, utakuja kufa kwa kukosa maji mtaani kwako.
  2. G

    Serikali haramu inavyojihalalisha kibabe

    Tunabikiri watu hiyo siku, ngoja tupake mkongo
  3. G

    Haya ni mambo sita (06) ya kujifunza kabla hujaanza kuishi mwenyewe magetoni tafadhali

    Mwisho usidhani hilo ghetto ndio kwako sasa, kaa miaka miwili au mitatu ukiwa unajenga then hamia kwako.
  4. G

    Watakaogeuka Kuwa Maadui Wakubwa wa Mbowe na CHADEMA, ni Wanachama na Wapenzi wa CHADEMA wa Sasa

    Hadi sasa quarter of life ya Mbowe kukiongoza chama kwa misingi yake kilivyokuwa is over. Mpaka sasa jamii kubwa ya wana CHADEMA washasanuka kuwa FAM yupo hapo kwa manufaa yake wala si kwa wananchi. Ikumbukwe hata maandamano aliyokua anaitisha lengo na madhumuni ilikua ni kujinadi yeye na...
  5. G

    Maelezo ya Wenje yamenyooka zaidi kuliko tuhuma za Lissu! Huenda Mbowe bado ni mtu sahihi zaidi kuongoza CHADEMA

    Wenje kajikanyaga kanyaga ovyo ovyo tu hajaeleza kile kinachodaiwa Mara Abdul alisema Lissu tayari kashalipwa mara wakaenda kwa Lissu wakachukua nyaraka Hapo kuna kitu behind the scenes tumefichwa.
Back
Top Bottom