Pamoja na yote hayo lakini ukweli ni kwamba ACT ikijiunga na ukawa basi ccm hawezi kusimama lakini ninachohofia ni ubinafsi pamoja, uchu wa madaraka pamoja na visasi vitatawala, kwahiyo basi badala ya kujenga tutabomoa nchi. Bora ibaki kama ilivyo sasa.
Alijinadi kuwa endapo itathibitika kuwa yeye ni mtoa rushwa na fisadi basi atajiuzuru uenyekiti wa yanga? Sasa Ni ushahidi gani tena unahitahijika? Nataka nione akijiuzuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.