Naona wapo sawa kwa nini wengine wasote law school, halafu makada waje kupewa kimagumashi
naona ni dalili ya kuifubaza TLS kwa kuwapa makada na machawa u-lawyer ambao haustahili ni wazi kabisa wana target chaguzi za TLS na kuhakikisha nafasi ya urais wa TLS unakuwa kwa Chawa na Kada,
Watu...
Kweli kabisa na T. R. A nao imefika muda wawe na duka lao la Mfano wauze bidhaa au huduma waone uhalisia kwa ground , sio kupandisha makodi kila Siku kwa kuangalia tafiti za mezani
Mm nilipona kabisa, but nilitumia dawa moja ya tiba lishe / herbs, kwa dawa hizi za hospital zinatuliza tu tatizo au zinatibu tu maumivu shida inaendelea kuwepo
Shida kwani nini, biashara ya mafuta si biashara kama zingine zikifuatana shida ni nini
Kuhusu usalama watu hofu ni zitalipuka wakati October 29, vituo vingapi vimechomwa moto? Kipi kimelipuka
Vituo vya mafuta vinageuza sana madhali ya miji, vinatoa ajira na uchumi, pia vinatoa huduma tuache...
Hii barabara 2030 watakuja tena kuwaambia wananchi wakipewa ridhaa ya kuwaongoza wataimaliza, hii barabara chama kile Mfu kishaona ndio mtaji wake wa kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.