Wamenijibu wale wa ensol tz wameniambia nahitaji panel za 135w nne, betri 4 za 200Ah, inverter, kuunganisha na hadi malipo ya mafundi itakua mln 10 na laki 3 Tzs. Hii iko sawa kwa taa 14 (6 inje zinawaka usiku mzima, 8ndani masaa 4/5) tv moja, deconder, pasi. Walipiga hesabu average ya matumizi...