ndoa ni complicated sana tena inahitaji uvumilivu wa hali ya juu, naweza kusema m2 kutoka nje ya ndoa ni tabia yake,wengine yamewashinda ndani ya ndoa wanaamua kutoka. kama unyumba hamna ndani ya ndoa we unategemea nini!!? yaani inawezekana kabisa mafarakano yasiyokuwa na suluhisho kwa mda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.