Habari wanaJF?
Natanguliza pole kwa fighters wa ajira ambao mpaka sasa hawajapata ajira! Hali ni mbaya kiasi kwamba imefika hatua ya kuomba kazi nje kbs ya professionals tulizosomea!
Siku hizi kuna kamtindo ka matapeli wasomi wa hapahapa Tz ambao hupost ajira feki kwenye mitandao...
Habari zenu wadau? kuna mtu anafaham hizi bachelo degree zenye hons zinavyopatikana? ni kwa sifa zipi mwanazuoni ana qualify kupewa hizi bachelor zenye hons?? k.v LLB(hons.), BBA(hons.) n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.