Recent content by geoffy

  1. G

    Maxcom Africa iangaliwe kwa jicho la karibu

    wewe kwasababu n cute umeanza kufananisha wenzako na kambale daaah....Kwel cute shy una kauli mbaya ana wewe
  2. G

    Maxcom Africa iangaliwe kwa jicho la karibu

    Hivi ukiweka hela kwenye account ya mtu mwingine hata kwenye M-PESA wanarudishaga?
  3. G

    Maxcom Africa iangaliwe kwa jicho la karibu

    wadau nimesoma mjadala na kuelewa....nadhani ni vyema tukajadili mchango wa technoloji kwa nchi yetu hasa hasa kwa kampuni zetu za wazawa ndani vinginevyo tutaishia kulalamika kwa kuendekeza makampuni ya nje yanayokuja hapa kuchuma na kuondoka....mwishoe tunaishia kwenye yale yale ya...
  4. G

    TRA/PCCB chunguzeni wizi mkubwa Max Malipo leo hii

    Hapa nadhan kuna tatizo la akili za mawazo mgando....kwa kuanziaa tangu lini MaxMalipo ana network yake?? inaonekana unatumwaaa mjomba. Hawa jamaaa wa MaxMalipo kwa hili hauna hoja unalazimisha kuuaminisha upuuzi wananchiii ...Kama we msafi saana. Kwanini hujalipa siku zote kodi mpaka leo TRA...
  5. G

    Ufisadi NHIF: Vigogo wa NHIF wasimamia ufujaji na wizi wa zaidi ya Tsh 5,800,000,000 (billioni 5.8)

    Bwana whistleblower maoni yako ya mwisho umethibitisha maneno yangu kuwa wewe unawakilisha walioshindwa ila inasikitisha na kukera kuonesha ufahamu mdogo wa mambo ya pesa shilingi mill 500 ya mika nane iliyo pita ni zaidi ya bill 2 (Time Value for Money-Tukupe shule kidogo). tujadili kwa hekima.
  6. G

    Ufisadi NHIF: Vigogo wa NHIF wasimamia ufujaji na wizi wa zaidi ya Tsh 5,800,000,000 (billioni 5.8)

    Mimi binafsi nakubaliana na Ichenjezya ndugu zangu tuache kusema mambo bila kufikilia na ushabiki iliyojaa mihemko ndan yake. Vitu vzr n bora vina gharama yake wale huwezi kimbia. Mambo hayo ya bei chee ndio kila siku tunarudia miradi angalia barabara zetu kila siku misala tu
  7. G

    Ufisadi NHIF: Vigogo wa NHIF wasimamia ufujaji na wizi wa zaidi ya Tsh 5,800,000,000 (billioni 5.8)

    watanzania tutumie muda kwa ufanisi, nimesoma mada mbona wazi kabisa kuwa mleta mada ni 100% alieshindwa kwenye ushindani.....shame on you
Back
Top Bottom