mkuu, feminism is weak. ww unaimpose doctrine ya uongo tu. mfano mmoja: mwanamke msomi, graduate, kutoka familia nzuri yenye malezi, mcha mungu...kaj kwenye interview ya kazi inayogombaniwa na wanawake 60...nikimwambia hii kazi nakupa lkn hebu nitibu kidogo hapa dk 2..ATAKATAAA? tuweke unafiki...
kwanza, hebu tusiprovokiane...coz mada yangi ingekuwa ni tangazo basi ingekuwa jukwaa la matangazo...angalia thread zangu...huwa nikiwa na mada flani naangalia jukwaa lake. tuheshimiane, huna cha kukoment basi soma halafu piti ivi
kumkula siku hiyo hiyo sio tattizo...au nini maana ya one night stand? ni pale labda upo safarini mmefika usiku ukakosa gesti halafu upo msafiri mwenzako wa kiume so mkashare room. UMEELEWA? mm huchagua sana, na wapenzi wangu ni classic kabisa hata km tumekutana bar....lazima nihakikishe huyu...
mkuu mm ni great thinker ndo maana nawaza mambo mengi ya kimaendeleo na sipendi hujuma. huo uzi lengo ni mm kuona fursa ya kumake money out of that title. kuna mtu hapa mtaan kwetu akiitwa tu "mwalimu" anakula hela ya mwanafunzi...so
sasa muda wa kunegoiate ningeutoa wapi? niko shemeji yako alafu sipendagi kuuulizia ulizia sana bei" mara ooh...kwann isiwe bei hii?///...mm huwa naingia, au napanda, bei mbele kwa mbele hasa kama nin demu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.