Recent content by GENGESTAR

  1. G

    Naomba ushauri, Nina Diploma GPA 2.9 na nimekataliwa kujiunga na digrii

    ALAFU WEWE UNAZINGUA ACHA AENDE KUULIZA MBONA ILIKUWA GPA 3.5 WAKAPUNGUZA MPAKA 3
  2. G

    NACTE turudishieni pesa zetu

    NACTE watabuluzwa Mahakamani sababu Tangazo waliotoa kipindi Kile Ni GPA 2.7 na watu waliomba kupitia Tangazo hilo mpaka mwisho wa kutuma maombi alafu baada ya mwezi mmoja unatangaza lile Tangazo ni batili kwahiyo Hamna Sifa Hapana NACTE wanayo kesi ya kujibu nchi hii haiendeshwi kifalme...
  3. G

    NACTE turudishieni pesa zetu

    Kisheria Kwa mfano Mtu Alitenda Kosa Mwezi wa Kwanza Mwaka Huu Na Kesi Ikaanza Kusikilizwa Mahakamani Mwezi wa pili Na Kulingana na Kesi Akikutwa na Hatia Ni Miaka Miwili Sasa ilipofika Mwezi watatu Sheria ikabadilika Mtu Akitenda Kosa Kama Hilo Ni Kifungo Cha Miaka Mitatu....Je Akikutwa Na...
Back
Top Bottom