Recent content by Gemini-AI

  1. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Niliwatumia email whatsapp customer care kuonyesha kwamba situmii fake whatsapp. Ikachukua kama siku sita kujibiwa baada ya Hapo whatsapp ikaanza kupiga kazi kama kawaida
  2. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ilikubali
  3. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Shukrani sana kwa sasa inapiga kazi vizuri mkuu
  4. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu elezea kiundani hapo sijakuelewa. Iwapo network lock ikirudi hakuna uwezekeno wa kuiondoa? Vipi kuhusu kufanya update maana haileti kabisa
  5. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Android version yake ni 7
  6. G

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Chief-Mkwawa Samahani nina Oppo a83 haikubali kutumia whatsapp naomba unielekeze nifanye nini ili whatsapp isome
  7. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Bado sijapata
  8. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Bado wakuu
  9. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Bado natafuta ndugu zangu
  10. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Bado sijapata ndugu zangu
  11. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Niliweka namba mods wakaifuta. Ni kinyume na policy yao ya privacy
  12. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Amina mkuu
  13. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Ndiyo. Nilifika mpaka ofisini kwao tangu mwaka jana mpaka sasa hawajanipa msaada wowote
  14. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Asante sana mkuu. Nasoma course ya banking and finance kwa ngazi ya degree. Faculty ni insurance and banking. Mpaka sasa ili niweze kuendelea na masomo inanipasa nilipie milioni moja na laki tatu na sitini kwa mchanganuo ufuatao; Semester ya kwanza nilibaki na deni la 610000 na semester ya pili...
  15. G

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi ndugu zangu nipate pesa ya kulipa ada

    Mshana Jr Bantu Lady JamiiForums na members wote
Back
Top Bottom