Recent content by Gemina Tombalbaye

  1. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Hawa mabalozi wafanye kweli maanayake wanaongea tu lakini wakifka kwenye ule wakati wanatoa pesa bado wanatoa kila mwaka wanatupiga maneno safari hii wafanye kweli potelea mbali tupate shida ya muda mfupi lakini nchi ikombolewe mafisadi waondolewa zitto aingie ikulu tuanze upya moto mbele
  2. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Kwani difenition ya neno fisadi ni nini sisi tunachojua fisadi ni mwizi mla rushwa wewe unasema sio lazima awe amepokea pesa sasa unatuchanganya wewe unasema Rutanziba kushiriki mchakato ni ufisadi hapa sasa unazimua maana ya mfisadi yeye ni mfisadi kwasasabu kala mshiko hapa sasa itakuwa ngumu...
  3. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Keli wewe unaongea tena habari ya kuruka kiunzi cha IPTL hapaswi kuruka kiunzi chochote moto kwa moto tu sasa ndio maana nasema ndugu Slaa anaweza kuwa legal troubble kwasasabu kwenye ile orodha amemtaja kama katibu mkuu wa nishati wakati wa mkataba wa IPTL hawa viongozi wetu hawana watu wa...
  4. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Ile orodha ya ndugu Slaa imesema kwenye nambari 5 kuwa ndugu Rutanziba amehusika na mkataba waIPTL sasa yeye Ruta anasema hakuwa wizarani wakati mkataba unasainiwa, tusaideni hapa ni nani anasema ukweli kama ndugu Slaa amekosea hii small detaili basi we'r in trouble ukweli ni upi ndugu zangu
  5. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Tutakuja tuombe mvua isinyeshe na kusiwe na ile fiester ya muziki hongera
  6. G

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Tuipate yote tuamue wenyewe kama ni kweli wa Buzwagi ni improved kama kweli ni improved basi mikataba yote tuwe tunasaini nje ya nchi.
  7. G

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    kuupata peke yake hautoshi inabdi tupate yote tuilinganishe kama tumeliwa zaidi kwenye huu wa Buzwagi au mingine pia nayo iliyosainiwa hapa bongo nayo tumeliwa.
  8. G

    The Buzwagi Saga: Karamagi aenda kusaini Mkataba wa ULAJI London

    Wamesema kwenye gazeti hapa leo mkataba wa buzwagi unasambazwa kama njungu ni kweli hizi habari basi uletwe hapa tuuchambe kipengele chote.
  9. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Asante ndugu tumeshaanza kuipata on air tena mara tatu sasa.
  10. G

    Salva Rweyemamu SIYO Mtanzania(?)

    Ndugu lazima uelewe kila anayehoji urai wa mwingine ana motivate yake wengine ni kwaajili ya kuwatenga wengine wengine ni kwaajili ya kuharibiana biashara wengine ni kwaajili ya kuharibiana nafasi za siasa wengine ni kutetea maslahi ya nchi na wengine ni gele tu mimi naona mzee mwanakijiji...
  11. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Viongozi wetu hawa wamekosea kutogusia kabisa rushwa ya ngono ambayo ndiyo inamgusa mwanamke wa kawaida katika maisha yake ya kila siku na inamdhalilisha sana wanawake wakiomba kazi za uhudumu kwenye baa wanapewa mshahara shilingi 10,000 nyingine wanaambiwa watazipata kazini haya ndio masuala...
  12. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Ndugu msanii hata mimi Tanzania daima limeniangusha maanayake nalo halikuitoa.
  13. G

    List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

    Safi sana ila nina wasiwasi kwamba kwa kumjumuisha jk kwamba ni mmoja wa mafisadi nchini wameiharibu hii orodha wabongo wanajua jk kama mtu binafsi sio fisadi ila manyangau wengi serikalini ndio mafisadi vilevile kwa kumweka rutanzibwa pia wameharibu kwasababu wangefocus na wanasiasa ambao ni...
  14. G

    Movement: Tunataka Katiba Mpya Tanzania

    Ndugu si ungeimaliza barua kabla ya kuileta maana yake kipande ulichoandika sio kirefu kabisa mimi najua wanaposema itaendelea ni kwamba nafasi inakuwa imeisha sasa ndugu umeandika nusu ukurasa halafu unasema itaendelea, lakini tunaingoja.
  15. G

    Salva Rweyemamu SIYO Mtanzania(?)

    Mzee mwanakijiji nazipenda makala zako kwenye Kulikoni lazima umlime huyu jamaa wamezidi hawa wanyamulenge. ili tunakuangalia isiwe unamuandama kwasababu ya kumuonea gele kapata cheo na anasifiwa sana kama ni mtu makini wakati wewe hujulikani kabisa. Kwanza jamaa wote wa kule uhayani kule Ngara...
Back
Top Bottom