Recent content by gelly mubanga

  1. G

    Swali

    Wana JF Naombeni msaada wa jibu la swali hili ni kwanini mbu hawezi kueneza virusi vya ukimwi kwa njia ya damu?
  2. G

    Nani rais mwaka 2015

    Samuel Sitta ni chaguo bora kabisa
  3. G

    naombeni majibu

    Jamani wataalam nipeni majibu ya utata huu hivi ni kweli kwamba mbu hawezi kueneza virusi vya ukimwi kupitia damu anayo nyonya kwa mwathirika?na kama ndiyo ni kwa sababu zipi
  4. G

    Account zote nchini kufungwa ikiwa hutarekebisha taarifa za account yako haraka!!!!!

    Mi akaunti yenyewe niyakuchukulia posho hata elfu hamsini haifiki nikapange folen eti na boresha taarifa zangu siku wakiona mwajiri wangu hajapeleka mshahara basi wajue taarifa zangu zimeisha hapo
Back
Top Bottom