Recent content by Geheri

  1. G

    JamiiForums Tanzania TAMKO rasmi la Ndugu Zitto Z. Kabwe kuhusiana na kinachoitwa "Taarifa ya Siri ya CHADEMA"

    Wanajamii Ni muhimu sana ZZK akaweka mambo hadharani. Yeye ni deputy SG wa CHADEMA ana fahamu ukweli hivi inawezekana vipi mtu akachunguzwa miaka yote hiyo bila hata briefings kwenye vikao halali ambavyo yeye ni senior officer. ZZK anafahamu nani anatumika kumchafua asitumie loophole hii...
  2. G

    JamiiForums Tanzania Adhabu ya siku tano kwa wabunge wa CHADEMA haitoshi - Dr. Bana

    Hata kama ni Prof wakati mwingine ni muhimu kupimwa akili kwani upotoshaji upo dhahiri nahisi alisikilia habari hizi kwa majirani kwani waliofuatilia bunge walishuhudia kilitendwa kwa Lisu. Kwani naibu speaker jazba aliyoonyesha ni intellectual property (trademark) yake
  3. G

    JamiiForums Tanzania Miaka 52 ya uhuru wagonjwa wanabebwa kwenye machela

    Inasikitisha sana tunasaini a lot of international declaration kama vile Abuja declaration but we can not budget 15% for health budget zaidi ya kuingiza fedha kwenye chai. Watanzania twafa wao watibiwa India. Poa tu kwa Mungu wote sawa ufie Mwananyala au Appolo India udongo utalba tu
  4. G

    JamiiForums Tanzania Kamanda mawazo kuongoza moto wa m4c igoma-mwanza 2/1/2013 .

    God bless M4C we want changes and development to all Tanzanians
  5. G

    JamiiForums Tanzania Nyerere Against Islam in Zanzibar and Tanganyika

    Hakuna hoja kwa sasa. The best thing is tanzanians to think about future. Je Karume alisimu lini kama Mapinduzi ya Zanzibar yalilenga kuuondoa uislam. Hatuhitaji kuongopewa Kwa sasa
Back
Top Bottom