NAOMBENI MAONI AU USHAURI WENU
Wakuu mi nakaa Dar es salaam(Kaliakoo),Nilikuwa nataka kufunga biashara ya vitenge mkoa wa mbeya(Tukuyu) nikiwa na mtaji wa Tshs million moja, nitajumua wapi bizaa bora na kwa bei nafuu na zinazo weza fika kiulahisi mahali husika.
Ndugu zangu habari ya subuhi.
Naomba ushauri nataka kuanza biashara ya vitenge mkoa wa Mbeya (Tukuyu) kwa mtaji wa Tshs. million moja na nusu.
Kwa hiyo naombeni ushauri wapi naweza kujumua kwa bei nafuu na inaweza kunifikia kwa urahisi,
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.