Recent content by gasper2015

  1. G

    Bank ya NMB tawi la Mbezi Beach ina shida gani?

    Nmb wanashida sana, utoe m10 kwenye zile bunda za milioni mojamoja usikute hata shot ya elfu10 shikuru mungu
  2. G

    Nikifanya kazi za kuzoa taka halmashauri sitapata hasara

    Kuna hizi kazi za tenda wanatangaza sana halmashauri, ya kufanya usafi na kuzoa taka ngumu na kwenda kutupa dampo. Kazi hii kiuhalisia sio ngumu lakini ugumu unakuja kwenye malipo yaani wanataka pia ukusanye ushuru wa taka na 30% ulipe halmashauri inayobaki ya kwako, issue ngumu hapa ni kudeli...
  3. G

    Natafuta mkopo wa riba nafuu kutoka kwa mtu binafsi

    Habari wadau, Mimi sina sifa ya kukopesheka Bank, Hivyo nina shida ya mkopo wa M3 kwa mtu binafsi dhamana niliokua nayo ni kiwanja kipo songea changalawe kipo barabarani kabisa kiwanja kina kibanda cha chumba na sebule na mbele kuna nyumba ya block najenga ipo nusu mkataba wa mauziano ya...
Back
Top Bottom