Unamaanisha Mashoga walioko kwenye ndoa za jinsia moja huko Marekan matendo yao ya faragha ni tofaut na wanavyo tenda Mashoga wa Kitanzania wawapo faragha?
Chini ya utawala wa ccm ulio jaa viongozi Walafi na wezi wa mali za umma Nchi hii haitoweza kusimama ijitegemee yenyewe! Mabeberu kila wanapowachana ukweli kwa uchafu na upuuzi wenu ndo mnakumbuka tena ngonjela zenu, kama hizi za kujifunza kujitegemea
Huu ujumbe wako unawahusu hao Viongozi wako unaowatetea humu, ambao wanaifisadi Nchi na pia Matumizi ya pesa hovyo. Halafu pesa za miradi ya maendeleo wanaenda kuomba huko kwa Wazungu
Zaidi ya miaka 60 ya uhuru ambao ni umri wa Mzee bado hamjaweza kujitegemea? Leo hii ndo mnataka mjifunze kujitegemea baada ya Mabwana zenu Wazungu wanaowapatieni misaada, kuwakemea kwa uovu wenu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.