Shaka alipotoka Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa wilaya Makonda alipotoka kwenye Uenezi akaenda kuwa Mkuu wa mkoa
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Hata kama ni fisadi Sawa lakini afadhali fisadi anayetetea wananchi, wew hapo nadhani Makonda angekuwa uttoh ungemuunga mkono
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Chadema ni watu wa ajabu Sana sasa kwanini wasubiri mpk Mwenge uanze mbio zake mkoani humo kisha wao wanapanga mkutano......hovyo kbs
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.