Recent content by gambera

  1. G

    Coast residents ‘unhappy’ with Balala’s new status

    Shame on you,kazungu kambi,umetumwa na umetumiwa,na viongozi kama nyinyi ndio munao rudisha pwani nyuma,hata umewachwa kwenye mataa,that is a hate speech,unatia chuki baina ya wa pwani,waislamu na wasokuwa waislamu.mijikenda na wasokuwa mijikenda.tutaenda wapi kama wapwani,aibu aibu aibu!,.
  2. G

    Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

    Aah!,hapo sitakubishia,kwani siasa za kenya hazieleweki,its a game of numbers zimeshinda wazungu,hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu katika siasa,hasa za kenya,ruto alikuwa adui mkubwa sana wa uhuru,na kalonzo pia hawaku elewana na raila, lakini maslahi yaliwaweka pamoja~bora uje na kapu...
  3. G

    Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

    Aaah hayo ni maoni yako,lakini hata uhuru kenyata anamtambuwa raila odinga,katika kupigania democrasia hapa kenya,ndio maana hivi majuzi alimpatia orfar yakuiyuza kenya majuu.kwani yeye ni mwana mageuzi,.
  4. G

    Uhuru Kenyatta's Wealth( is he really in touch with the common Mwananchi???)

    Ah! Kaka,usimtusi mwenzako,hayo ni maoni yake na maoni hayakataliwi,mbona wabongo hivi,
  5. G

    Rais awe kwa ajili ya uhusiano wa kimataifa, tuwe na serikali mbili za ndani (edited)

    Kaka nakupongeza,kwani umejitahidi,ili kuikuza n'nchi yako,japo sikumaliza kusoma maoni yako lakini naomba kukurekebisha pale nimeona sivyo. Kwanza mabalozi, umelenga tu! kwa wageni wasafiri,bali ubalozi unikazi nyingi sana,kuimarisha biashara kati ya n'nchi na n'nchi.mikakati ya usalama baina...
  6. G

    Nimeamini kenya hakuna ukabila...look the latest appointment in kenya

    Those are from one community please,na bado hajamaliza,kaka siubaya kuuliza mana hapa tunaelimishana.wengine wanakukaripia bure tu!,mimi sioni haja ya kukinzana.
  7. G

    Kenyan Security Minister George Saitoti Reported Killed

    Kama unangoja utajiwe kwamba huyu ndie muhusika mkuu,basi ngoja sana mana hutaelewa kitu,lakini wabunge wameona,na utaona vile bunge litawaka moto ju ya swala hili,ile gharama imetumika kwa ajili ya uchunguzi huu,alafu wewe unaubeza!!!,.
  8. G

    Nairobi Governor, Evans Kidero, turns down 22 million bribe offer!

    Kidero nakupongeza,umeonyesha moyo wa uongozi,natumai unajijengea sifa za uongozi bora,unafaa kuwa rais wa kenya.lakini matajiri na mafisadi hatimae watakushinda nguvu.alamsik.
  9. G

    Raila and Kalonzo coming back to Parliament!

    Stroke,maoni yako kaka siharamu,unaweza kutowa maoni,lakini kama ulifuatia ile kesi ya kipinga matokeo,ungejuwa kwamba mahakama pia ilikuwa imeshaamuwa kesi,wacha nikuambie ukweli kuhusu raila.labda humjui vizuri historia yake,au kwa njia rahisi ungemtafuta wasifa wake kupitia internate.wafisadi...
  10. G

    How TNA and IEBC conspired to steal the Kenyan Election 2013!!!

    Kaka,sisi wakenya tuna kushukuruni sana kwa kuyaona haya.na huwo ndio upendo mulio nao kwetu,kwa hilo mungu ata wajazi,na awazididishie mapenzi.aamin.alamsik.
  11. G

    How TNA and IEBC conspired to steal the Kenyan Election 2013!!!

    Mwathai sishangai najuwa wewe ni walewale tu.lakini ukweli unao wewe mwenyewe.iwapo kina kaka na madada wa n'nchi jirani wameweza kuyaona haya,sembuse wewe.
  12. G

    Ahmednassir Abdulahi...who is this guy?

    He is a prominent layer by profational.his orriginality is a somali one,he was amonge the members of a commition which used for vetting of juges,including the supprime cort juges.lakini ajabu ni kwamba yeye amekuwa wa kwanza kuikosowa iebc kwa jinsi walivyo endesha uchaguzi,ela ghafla bin...
  13. G

    Hakika: Raila tutakukumbuka

    Kaka usiyo yajuwa ni usiku wa giza,sijui wataka historia gani ndio ujue kwamba raila ni mwana mageuzi.ni kweli katiba ni raila,multyparty ni raila.yeye ni mtetezi wa wawanyonge.na hivi ndivyo ilivyo.
  14. G

    Obama aichafua Kenya...

    Kwanza wacha nikueleze ukweli,obama kabla ya kuanza azma yake ya kuwa rais wa marekani,alikuja kenya kwao,hii ni kuujulisha ulimwengu kwamba yeye anakwao.kujinasibisha kwake yeye na kenya ndio kulimfanya yeye achaguliwe kuwa rais wa taifa kubwa duniani.hii ilikuwa ni siasa kwamba yeye hakuwa...
Back
Top Bottom